COCO MEDIA
COCO MEDIA
  • Видео 238
  • Просмотров 5 634 215
WANAWAKE WANAOJIUZA WAKAMATWA UBUNGO DAR.
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko Usiku wa Kuamkia June 6 wamefanya oparesheni ya kushtukiza eneo la Ubungo Riverside kwa lengo la kuyabaini na kuyafungia maeneo yanayotumiwa na Madada poa Kujiuza, ambapo wamefanikisha kukamatwa Madada poa zaidi ya 20 pamoja na Wateja wao.
:
DC Bomboko amefanya msako wa nyumba kwa nyumba kwenye nyumba zote zilizokuwa zinahifadhi Wadada hao ikiwemo Gesti bubu na kuagiza zifungwe huku akiwataka Wamiliki wajisalimishe ofisini kwake, na kuagiza kufungwa kwa Bar kadhaa eneo la Riverside ambazo hazina vibali vya kufanya biashara hiyo na hutumiwa na Wadada hao kutafuta Wateja wa kuwauzia miili yao.
:
“Tulikuwa na oparesheni ya kutokomeza Madanguro na kuondoa ...
Просмотров: 552

Видео

HATUTAKI USHOGA TANZANIA, KAMA NI MISAADA WAKOME SITISHENI - WAITARA.
Просмотров 482 месяца назад
Mbunge Wa Jimbo La Tarime Vijijini Mhe. Mwita Waitara leo Mei 17, 2024 Bungeni Jijini Dodoma amesimama kuchangia hoja kwenye bajeti ya makadirio ya mapato na2 matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambapo Katika Mchango wake amegusia suala la ushoga ambapo amehoji kwa nini Waziri Dkt. Doroth Gwajima katika Hotuba yake wakati anaw...
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI DR ELIEZER FELESHI ASHANGAZWA NA WANANCHI WANAOJISOMBA KWA PAULMAKONDA
Просмотров 2205 месяцев назад
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dr Eliezer Feleshi, aonyesha kushangazwa na Wananchi Wanaojisomba Kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda kupeleka Malalamiko yao.
JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MACHO MEKUNDU (RED EYES)
Просмотров 3636 месяцев назад
JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MACHO MEKUNDU (RED EYES)
MAKALA MAALUMU YA MAZINGIRA YA AJIRA KWA WANAHABARI NA CHANGAMOTO ZAKE.
Просмотров 726 месяцев назад
MAKALA MAALUMU YA MAZINGIRA YA AJIRA KWA WANAHABARI NA CHANGAMOTO ZAKE.
MAKALA MAALUMU YA TEKNOLOJIA YA UCHIMBAJI MADINI MKOANI GEITA!
Просмотров 386 месяцев назад
TEKNOLOJIA YA UCHIMBAJI MADINI MKOANI GEITA!
MAKALA MAALUMU YA USAFIRISHAJI HARAMU WA BINADAMU NCHINI TANZANIA
Просмотров 22110 месяцев назад
Takribani kila nchi Duniani imeathiriwa na Biashara Haramu ya Binadamu, Tanzania imetajwa kuwa miongoni mwa nchi zenye Matukio ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Uhalifu unaoathiri maelfu ya Wanawake, Watoto na Wanaume kila mwaka.
12 July 2023
Просмотров 255Год назад
Mkazi wa mjini Mpanda, Athuman Yengayenga ameandika rekodi ya aina yake baada ya kufunga Ndoa na Wanawake watatu kwa wakati mmoja. Cc:AzamTV
MABANGO YA WANAUME KITAKIWA KUWAPIMA DNA WATOTO WAO YAWEKWA KWENYE DALADALA.
Просмотров 126Год назад
Sakata la Baadhi ya Wanaume Nchini Uganda Kulea Watoto ambao Sio wao limezua Sura mpya, Hivi sasa Ukipita mitaa ya Kampala hadi Daladala wameweka Mabango ya Matangazo ya kuhimiza Watu kupima DNA, Mabango hayo yanasomeka “Ni Mtoto wako ? Tuna udugu ? fanya DNA” “ DO A DNA TEST” : Haya yanatokana na Wanaume wengi kugundulika kulea Watoto wasio wao kama ripoti inavyosema. CC:Dwkiswahili
MWANAUME ALALAMIKA MKE KUPENDA TENDO LA NDOA SANA KILA SIKU, KILA SAA “NIMECHOKA”
Просмотров 77Год назад
Kijana mmoja nchini Ghana amezua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufunguka kuhusu maisha yake ya ndoa. : Hii ni baada ya kupiga simu katika kipindi cha mazungumzo ya Uhusiano kwenye redio kulalamikia kuhusu hulka ya mke wake. : Nana Kwame mkazi wa Kasoa akielezea masaibu yake, alisema amekuwa katika Ndoa kwa miaka miwili na mwanamke ambaye amezaa naye mtoto wa miezi 9. Tatizo...
WAWATISHIE WATU WENGINE SIO MIMI: UHURU KENYATTA🇰🇪
Просмотров 93Год назад
"Nilitaka kustaafu Siasa niende nikafanye mambo yangu mengine lakini kuna watu wameamua kuwa kazi yao ni vitisho na kulazimisha vitu. Leo ninawaambia wawatishie watu wengine ila sio mimi." - Rais Mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta
KUNA VITU MWANADAMU HUWEZI KUCHAGUA KUWA MWANAMKE AU MWANAUME NI MAPENZI YA MUNGU HAITOKEI DUNIANI.
Просмотров 79Год назад
KUNA VITU MWANADAMU HUWEZI KUCHAGUA KUWA MWANAMKE AU MWANAUME NI MAPENZI YA MUNGU HAITOKEI DUNIANI.
Kundi Maarufu la Watoto yatima toka Uganda la Ghetto Kids, limeshinda “Golden Buzzer”
Просмотров 146Год назад
Kundi Maarufu la Watoto yatima toka Uganda la Ghetto Kids, limeshiriki mashindano ya Vipaji ya Britain’s Got Talent huko Uingereza na Kufanya Show ya pekee iliyowafanya waamuzi kuwapitisha kwa Shangwe Kubwa na Kujishindia nafasi ya moja kwa moja ya kuingia kwenye nusu fainali kwa kupata “Golden Buzzer” kwa onyesho lao la kusisimua na kufurahisha katika kipindi cha vipaji maarufu ya Britains Got...
TUCHUKUE HATUA, TUUKATAE USHOGA
Просмотров 58Год назад
Mbunge wa jimbo la Makete, Festo Sanga ameitaka Serikali kuchukua hatua na kutolifumbia macho Suala la mapenzi ya jinsia moja ambapo amedai kuwa endapo halitafanyiwa kazi basi miaka 30 ijayo bunge na nyumba za ibada zitakuwa zikiongozwa na watu wanaojihusisha na mambo hayo jambo ambalo sio Utamaduni wetu. @senator sanga
BUNGENI: TUSIMAME PAMOJA KUKEMEA MAPENZI YA JINSIA MOJA
Просмотров 45Год назад
BUNGENI: TUSIMAME PAMOJA KUKEMEA MAPENZI YA JINSIA MOJA
MKE AMTAFUTIA MUME WAKE MCHEPUKO UNAOFANANA NAE ILI KUMZUIA ASICHEPUKE.
Просмотров 217Год назад
MKE AMTAFUTIA MUME WAKE MCHEPUKO UNAOFANANA NAE ILI KUMZUIA ASICHEPUKE.
SIMBA MAARUFU SERENGETI “BOB JUNIOR” AUAWA NA WENZAKE KUTAKA UTAWALA WAKE
Просмотров 107Год назад
SIMBA MAARUFU SERENGETI “BOB JUNIOR” AUAWA NA WENZAKE KUTAKA UTAWALA WAKE
PAPA FRANCIS AWAPIGIA MAGOTI NA KUWABUSU MIGUU VIONGOZI WA SUDANI KUWAOMBA WAMALIZE TOFAUTI ZAO
Просмотров 78Год назад
PAPA FRANCIS AWAPIGIA MAGOTI NA KUWABUSU MIGUU VIONGOZI WA SUDANI KUWAOMBA WAMALIZE TOFAUTI ZAO
MSHUKIWA WA MAUAJI YA MWANAMITINDO EDWIN ADAI MAREHEMU KUMSALITI
Просмотров 117Год назад
MSHUKIWA WA MAUAJI YA MWANAMITINDO EDWIN ADAI MAREHEMU KUMSALITI
MTOTO AJIUA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI
Просмотров 84Год назад
MTOTO AJIUA BAADA YA KUJICHIMBIA KABURI
HOUSE GIRL JELA KWA KUMLISHA MTOTO UCHAFU WA SEHEMU ZA SIRI
Просмотров 135Год назад
HOUSE GIRL JELA KWA KUMLISHA MTOTO UCHAFU WA SEHEMU ZA SIRI
WANAUME WANAOTHIBITIKA KUBAKA WAHASIWE:
Просмотров 77Год назад
WANAUME WANAOTHIBITIKA KUBAKA WAHASIWE:
ALKASUSI KIBOKO YA MKONGO ZANZIBAR
Просмотров 61Год назад
ALKASUSI KIBOKO YA MKONGO ZANZIBAR
PILOT ALINIELEKEZA KUMVUNJIA KIOO CHAKE LAKINI ILISHINDIKANA
Просмотров 203Год назад
PILOT ALINIELEKEZA KUMVUNJIA KIOO CHAKE LAKINI ILISHINDIKANA
VIJANA 110 WAMPA KIPIGO BABA LEVO BAADA YA KUMFUMANIA NA DEMU WA MTU
Просмотров 61Год назад
VIJANA 110 WAMPA KIPIGO BABA LEVO BAADA YA KUMFUMANIA NA DEMU WA MTU
Tanzania ma Hustler ni wengi na mimi ni Chief wao.
Просмотров 62Год назад
Tanzania ma Hustler ni wengi na mimi ni Chief wao.
KIINGEREZA CHA MUSUKUMA BUNGENI
Просмотров 74Год назад
KIINGEREZA CHA MUSUKUMA BUNGENI
ANAEDAIWA KUFA NA KUZIKWA APIGA SIMU
Просмотров 68Год назад
ANAEDAIWA KUFA NA KUZIKWA APIGA SIMU
HATIMAYE UHURU AMPONGEZA RUTO
Просмотров 36Год назад
HATIMAYE UHURU AMPONGEZA RUTO
MFALME CHARLES III AHUTUBIA BUNGE.
Просмотров 31Год назад
MFALME CHARLES III AHUTUBIA BUNGE.

Комментарии

  • @ThemoThemze
    @ThemoThemze 11 часов назад

    Chege mtoto Wa mama chegunda

  • @melvinochieng8235
    @melvinochieng8235 13 часов назад

    2024 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 najua tanzanians wamefungiwa daa na suluhu

  • @kevinsakwa6665
    @kevinsakwa6665 17 часов назад

    RIP SAM lakini swali ninalo ukimwi utarogwaje nayo?😳😳😳

  • @ShujaaFearless
    @ShujaaFearless 18 часов назад

    Hizi ndio Ngoma .. this days wanatuimbia chuki na matusi

  • @ibrahimmsumi
    @ibrahimmsumi День назад

    Hii Nyimbo Namaliza Kidato cha Nne 2003,,Tuliokua Depo moja Gonga like hapa 🔥🔥

  • @josekamaa2616
    @josekamaa2616 День назад

    always have and been in love with Ray C

  • @bettykaimenyi7651
    @bettykaimenyi7651 День назад

    Like kama unaitazama 2024

  • @sethwafula2456
    @sethwafula2456 День назад

    Will come back in 2060 to check my comment keep liking to remind me (sun 21 July 2024🔥)

  • @hajiamiri1658
    @hajiamiri1658 День назад

    Hii niliielewa sana

  • @user-rh4ej7oq9j
    @user-rh4ej7oq9j День назад

    Watoto wa2000 watupishe kidogo huku mambo ni moto gonna like nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉....imma dulla marangu kilema

  • @FungaiSithole-fq7yi
    @FungaiSithole-fq7yi День назад

    I remember those days i use to listen this song once i miss my girlfriend ❤❤❤

  • @emandinka1003
    @emandinka1003 День назад

    She was way ahead of her time. Love you Ray C.

  • @beatyapacho6368
    @beatyapacho6368 2 дня назад

    2024 Crazy Over You

  • @okelloclinton9319
    @okelloclinton9319 2 дня назад

    Sam wa Ukweli. ❤

  • @worldchanneltv1809
    @worldchanneltv1809 2 дня назад

    2024

  • @user-sj8vx8wk7d
    @user-sj8vx8wk7d 3 дня назад

    Hilo goma nalikumbuka sanatu enzi hizo. 2006

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 3 дня назад

    Kiba hazeeki gonga like 2024

  • @allycantara3873
    @allycantara3873 3 дня назад

    2024

  • @Sagelly
    @Sagelly 3 дня назад

    😢😢Bro laza pema peponi nukukumbuka Sagelly Mukulu Rap from congo Kinshasa 🇨🇩⭐

  • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
    @HASHIMMAKUNGUHAMDANI 3 дня назад

    Ataree 😂😂poa tu hatuandafiii yoyote

  • @BradleyDuncan-gy3cq
    @BradleyDuncan-gy3cq 4 дня назад

    Who is here 2024 july😅😅🎉

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 5 дней назад

    2024 nipo hapa Mungu akurehem amrehem sharo

  • @douglaskaberia4280
    @douglaskaberia4280 5 дней назад

    Nilikua namwimbia my 1st gal adi nalia....we later separated because of distance...nyakati hakuna simu jameni....last year we met in town accidentally....she wept and cried alot... she got married and divorced na mm nikona family...its too painful...but u support her daughter in school

  • @AbdoulNdereyimana
    @AbdoulNdereyimana 5 дней назад

    Sam wa ukweli

  • @AbdoulNdereyimana
    @AbdoulNdereyimana 5 дней назад

    Sam wa ukweli

  • @dedan1443
    @dedan1443 5 дней назад

    Legends never die.....2024😍😍😍still a hit a song

  • @PaulImai-cv5tj
    @PaulImai-cv5tj 6 дней назад

    I remember this song 2011 when i was in form two na mrembo mwingine alikua anaitwa fanny mungo akulinde siku zote

  • @mrishomohammedi2654
    @mrishomohammedi2654 6 дней назад

    2024-07-16

  • @galaxyalrasouly1723
    @galaxyalrasouly1723 7 дней назад

    15th.july.2024

  • @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
    @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT 7 дней назад

    15/08/2024😢😢😢😢

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 7 дней назад

    Nilichukua laki 2.5 kwa kuhusishwa katika wimbo huu

  • @kelvinmuchiri1459
    @kelvinmuchiri1459 8 дней назад

    Huu wimbo Universal Kweli, Kila wakati niikiskiza Ni Kama Mara ya Kwanza 💯

  • @OBUDLING
    @OBUDLING 8 дней назад

    Anyone in 2024 July

  • @timothysalehe402
    @timothysalehe402 8 дней назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @mwanguohermanmwasoko3954
    @mwanguohermanmwasoko3954 8 дней назад

    Wenye tumecheki tiktok kua vixen wote kwa hii ngoma ni dada zake

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 8 дней назад

    Good song itaendelea kuishi daima sio zile nyimbo zinazovumawk moja halafu kwisha.

  • @lindaadolph4600
    @lindaadolph4600 9 дней назад

    nampend sana

  • @lindaadolph4600
    @lindaadolph4600 9 дней назад

    jaman hiii nyimbo huw haniishi hama kama unaipende gong lek yako apo

  • @user-tu7kr2mf6h
    @user-tu7kr2mf6h 9 дней назад

    Penda sana sam

  • @Bilalrendel
    @Bilalrendel 10 дней назад

    Them days

  • @abuthuraiyyahsalum8335
    @abuthuraiyyahsalum8335 10 дней назад

    00

  • @phantomScriptX
    @phantomScriptX 10 дней назад

    Ruto must Go 2024

  • @jayselectronics
    @jayselectronics 10 дней назад

    Every year I must come here to coment❤❤ it's now 2024

  • @SeifuShibe
    @SeifuShibe 10 дней назад

    Cc wakitambo tunaishi humu

  • @EmmahNjiru
    @EmmahNjiru 11 дней назад

    Aki hinzi goma nikisikia 2 biti nakuwa wasimu

  • @EmmahNjiru
    @EmmahNjiru 11 дней назад

    Tujuane kivipi

  • @janeben
    @janeben 11 дней назад

    2024 pamoja

  • @AzizHelege
    @AzizHelege 12 дней назад

    2025 like hapa

  • @saididdy6310
    @saididdy6310 12 дней назад

    Nakumbuka kipindi hicho nilikuwa kwenye mahusiano na binti ambae alinipenda sana binti mm nilikuwa sijui samani ya upendo wake asee

  • @faustachotto8536
    @faustachotto8536 12 дней назад

    Ila kweli wanafanana